WAHAMIAJI 19 WAFARIKI HABARI KAMILI HII HAPA by nasanyo fortnine

by nasanyo fortnine
Pwani ya Utaliana
Taarifa kutoka Utaliana zinaeleza kuwa wafanya kazi za uokozi wamekuta maiti 19 kwenye mashua iliyowabeba mamia ya wahamiaji kutoka Afrika Kaskazini.
Shirika la habari la Utaliana, ANSA, linasema inavoelekea wanyonge hao walikosa hewa safi walipogubikwa na moshi wa injini kongwe chini ya deki.
Wahamiaji wawili kwenye mashua hiyo walinusuriwa kwa helikopta kupelekwa hospitali.

0 comments:

Copyright © 2014 NASANYO BLOG