KUHUSU IRENE UWOYA KUTOKA NA MSAMI UKWELI HUU HAPA by nasanyo fortnine
Mwimbaji na mwalimu wa kucheza Msami amefunguka kuhusu uhusiano wake na muigizaji Irene Uwoya baada ya mengi kuandikwa.


“Ni kweli (kicheko)…nimekuridhisha lakini, nimeamua kukuridhisha.”
Akiongelea umri ulipo kati yao ambao wengi wanadai kuwa amezidiwa
sana umri na Uwoya kwa hi ni kama Serengeti boy wake, Msami amesema yeye
ni mkubwa zaidi ya Uwoya.
“Lakini mbona nikasema kama ni hivyo, as we are best friends lakini
(joke), lakini mbona mimi nimemzidi umri Uwoya. Lakini mimi ni mkubwa
kwake sema yeye ananizidi umri. Mimi ni mkubwa kwake nimemzidi miezi
mingi…yaani wewe jua nimemzidi miezi mingi. Mimi ni mkubwa kwa Uwoya.”
Amesema Msami.
Kuhusu mipango yao, amesema wako vizuri na wanafanya filamu yao
itakayokuwa inahusu muziki na dance na Msami ndiye mhusika mkuu.
Ameeleza kuwa bado hawajapanga jina la filamu hiyo na tarehe ya kutoka
lakini itaingia sokoni mwaka huu.
0 comments: