683 WAHUKUMIWA KIFO HUKO MISRI HABARI KAMILI HII HAPA by nasanyo fortnine


Mahakama nchini Misri hii leo imetoa hukumu ya kifo kwa watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa vugu
vugu la Muslim Brotherhood. 
 
Jali alipokuwa anatoa hukumu, jamaa na familia za watuhumiwa walikuwa nje ya mahakama tayari kupokea
 hukumu dhidi ya wapendwa wao
 
Bila shaka haikuwa habari njema, watuhumiwa wote 683, walihukumiwa kifo. Punde baada ya kupokea
 habari hiyo, baadhi ya wapendwa wao walizirai wasihimili uchungu
Hukumu ya kifo kwa kawaida haitekelezwi nchini Misri. Mahakama moja tayari imewabatilishia wafungwa
 wengine hukumu hiyo na kuifanya hukumu ya maisha jela na bila shaka wengi wanasema huenda na wale
 waliohukumiwa kifo leo pia wabatilishiwa hukumu yao.
 
Ilisalia kuwa dua na maombi kwa watuhumiwa kwa serikali kuwabatilishia hukumu yao.

0 comments:

Copyright © 2014 NASANYO BLOG