HUKUMU YA MPAKA KIFO UN YALAANI UAMUZI HUO habari kamili hii hapa by nasanyo fortnine
UN yalaani Misri kwa hukumu ya kifo

Mahakama kuu Misri
Umoja wa Mataifa umelaani
kitendo cha Misri kuwahukumu kifo zaidi ya watu miatano
ikisema kuwa ni
ukiukwaji wa sheria za kimataifa za haki za binadamu.
Umoja huo umesema kuwa idadi ya watu
waliohukumiwa Jumatatu, ndio idadi kubwa yawatu kuwahi kuhukumiwa kifo kwa wakati mmoja katika miaka ya hivi karibuni.
Mawakili wa utetezi wamesusia kesi ya pili ya watu wengine karibu miasaba wafuasi wa
Morsi wanaokabiliwa na tuhuma sawa na zile zilizowakabili watuhumiwa wa kwanza.
Wamlalamikia kile wanachosema ni mahakama kukosa kufuata utaratibu unaofaa.
Kesi ya wafuasi wengine 682 waliosalia ilianza kusikilizwa mapema leo lakini ikaahirishwa
baada ya muda mfupi huku jaji akisema kuwa hukumu itatolewa mwezi ujao.
0 comments: