Prod Duppah afunguka na kusema anaibiwa baadhi ya SING zake na nembo ya touch recordz msome hapa.. by tuntu baby
Mmiliki wa studio ya Touch one recordz
yenye makazi yake jijini dar es salaam..Aliye
tengeneza nyimbo mpya ya CRISS WA MARYA
iitwayo USINIHUKUMU...afunguka juu ya mtu
asiye mfahamu kiundani kutumia moja ya
sing zake kwenye ngoma zao na kuendelea
kuzusha kuwa touch ipo kilombero nasii
dar. Duppah;"Nashangaa mtu anakaa chini
na kutumia ubunifu wa mwenzie jina
niliachilia mbali nw wanatumia hadi sing
zang ..." Producer huyo alimaliza na neno
hili.."mimi ni maji watanigoga tu
watanzania tunaenda wapi jamani badala ya kubuni mambo tunakopi na kufanya ya kwetu kweli jamani
watanzania tunaenda wapi jamani badala ya kubuni mambo tunakopi na kufanya ya kwetu kweli jamani
0 comments: